Mkuu, kuna Aya moja nimesoma katika hili bandiko ina kipengere kinachogusia mtu mwenye mamalaka anapotaka kufanya maamuzi magumu kuna kitu anatakiwa kuapply, ila umekificha kwa kukiita nanulii, nifungue hapo kwenye nanulii mkuu.
Ukristo una madhehebu mengi mkuu, ingawa Kuna doubt papa kuwa mkuu wa makanisa yote ulimwenguni, angalia church union labda unaweza kuambulia chchote, Sina hakika Kama madhehebu yote ya kikrsto makao yake makuu yapo Roma Italy.
The home of great thinkers, sumsung, Apple, Nokia, Toyota, Bmw, all of these vina mwanzo na wagunduzi wake, chanzo cha upepo ni pressure mbalimbali chanzo cha prssure ni nini? Chanzo cha bahari, mto na ziwa? Chanzo cha sayari na nyota?, Utaniambia ni nature???? Chanzo cha nature??
Mkuu movie ni fasihi andishi, movie hutolewa na msanii.....MSANII ni mtu anayetumia muda wake mwingi kutunga/kubuni kazi ya fasihi ili kufikisha ujumbe kwa hadhira inayokusudiwa.
Na yeye akatuibia sisi ambao kila iitwapo leo tunashukuru na kusema Dunia imejizungusha kwenye mhimili wake, Shetani ni mtawala wa Dunia ila pia Kuna Mungu mkuu, ahsante mtoa mada unatufanya tufikirie mengi na ikiwezekana tutoke nje ya box, ingawa Ni ngumu
Lakini pia huyu msomi ni wa elimu hii hii ya Dunia, ambayo pia kwa mujibu mleta mada elimu hiyo itatumika kucreate uhai mpya, hivyo mthiology huyo aliyekugusia juu imagination ya pepo na jehunum anatumia elimu hii ya dunia, Ingawa mtawala wa Dunia yuko very creative lakini kuna baadhi ya vitu...
Toka itabiriwe ajari ya ndege na ikatokea, akaibuka shujaa mmoja, ukaibuka uchunguzi na taarifa ya uchunguzi ikatolewa kimafumbo mafumbo sasa hivi nyuzi Kama hizi nikiziona Namuomba Mungu azidi kunipa maarifa, maana mfalme wa Dunia keshaamua liwalo na liwe lazima apate wafuasi kwa gharama yoyote.
Pole sana, changamoto ni nyingi sababu ya kuchelewa kulipa mishahara ni nini, hatua gani zinachukuliwa kutatua changamoto, mnapofanya kazi Kuna kitu mnazalisha??
Mungu atupe nguvu kwakweli mbaya zaidi wakaja na betting hapa ndipo wameteka kadamnasi, tunajua tulipotoka ila tunapokwenda kupajua ni vigumu Mungu aturehem.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.