Kuna anaye jua option nzuri yakununua pc casing kwasababu shipping ni expensive kati cases zipo zinauzwa bei poa. Option kama easybuy, myus sema cheaper. China zipo cases nyingi nzuri sana sema sina shipping company ambayo imetulia
Mzee hiyo pc iko vizuri sana, naomba niulize ulinunua wapi? Yani hapo ukinuua gpu nzuri umemaliza kazi. Cha mwimu cheki Power supply imeandika watts ngapi ujue limitations zako. Pia unaweza kutumia hii app tujue kuhusu motherboard yako, na gpu yako vizuri zaidi HWiNFO, HWiNFO32/64 - Download
1.Mwezi Mega(GB20) = Sh30,000
2.Mwezi Bila Kikomo = Sh 20,000
3.Mwezi GB 2 = Sh 15000
Bonyeza '99' kurudi nyuma
Aise ina maana ukichagua 2.) Mwezi bila kikomo saivi utapata gb ngapi? Kuna mtu aliye jaaribu? Nahisi saivi ukijiingiza kwenye hiyo option ya pili utakula hasara
Msaada na TV yangu, inaonyesha chenga chenga imetumika kama miaka miwilli hivi inasemekana tatizo hili hutokeaga kwenye plasma tv's peke yake. Naomba mtu yoyote anaye elewa hii tatizo atoe ushauri.. nime upload video fupi tuu kuonyesha tatizo lake zaidi. Kama unamjua fundi mzuri wa plasma naomba...
Ya kwanza ina lt 3.0 flash na xk3y kusudi itumie hdd alafu bado inakua xbox live safe.. and the second ina lt 3.0 only kwaiyo bado inabidi itumie discs
Aise bwana leh upo live? Mimi nipo live sema inakuaga shida kuconnect na watu wengine tz kwajili ya strict nat which navyofahamu ukitumia hizi modem hauwezi kuizunguka bila isp kuitoa. Nina xbox 360 elite LT 3.0 flashed na xk3y chip iso kama 600gb. Kama kuna maujanja ya kuconnect tusaidiane wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.