Recent content by Eager

  1. E

    Naomba msaada jinsi ya kuanzisha website

    nime ipenda sana wadu ...... zaidi ni kwamba kwa kutumia hizi PLATFORM unaweza kutengeneza website, zenye mahusiano na database kwa urahisi zaidi....... Zina saidia sana kurahisisha kazi
  2. E

    Polisi inawashikilia watu watatu katika sakata la bomu

    Jamani wadau ... Hivi Hawa viongozi wetu wanajua kweli wanalo lifanya ... hivi haya mambo ni kwa maslai ya nani ....... Tumepata majanga ya mabomu huko Arusha ...... Wananchi wana kusanyika kuomboleza kuhusu vifo vya wenzao .... ati serikali ina wapiga mabomu ya macho ....... Hivi kama waki...
  3. E

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    hakika Libya watakiona, kwani ni sawa na wame mkaribisha fisi katika zizi lao. kama vipi "Time will tell"
  4. E

    Naomba msaada jinsi ya kuanzisha website

    labda unaweza ku host katika server za ueuo.com
Back
Top Bottom