MziziMkavu baada ya operation ndo kilikuwa hivyo ila kikapona ila issue inayosumbua ni hako kauvimbe kanakotokea na maumivu kisha kanapasuka after a week kanarudia tena!
Naomba kama kuna mtaalamu humu jukwaani asaidie tafadhali!
Kuna tatizo limemtokea ndugu yangu toka mwaka 2005 ikiwa ni kauvimbe mfano wa jipu karibu kabisa na
sehemu ya haja kubwa dr akapasua ila hakikupona tena ila mwaka 2008 hospital nyingine wakagundua ni ni perianol fistula wakamfanyia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.