Kweli kabisa! Lengo ni kuchukua mtoto wako si umempata ya nini na huyo binti! Mwache aendelee na bwana ake! Huna ndugu wa kuwasaidia? Wafungulie miradi ndugu zako watakuzika na kukuombea badala ya huyo Aliyekuwa anaumiza moyo wako
Mkuu Yesu alienda kuomba mlimani. Maandiko yanasema alienda kukesha mlimani kumwomba Mungu usiku kucha. Mara zote Kristo alienda kuomba Mlimani badala ya nyumba za Ibada.
Sawa maombi! Maombi unaombaje! Unadhani maoimbi yote Mungu anayasikia! Jitakase kwanza dhambi zako then uombe Mungu kupitia YESU KRISTO. Kinyume na hapo ndugu hakuna dawa,
QUOTE=Mgoda simtwange;12211524]tatizo unaamini bila kuona. Umepokea simu, ukasikia sauti ya kike inasema hapa ni tigo customer care basi wewe tayari unakubali kirahisi tu. Una uhakika gani zaidi ya kusikia sauti tu? kama wewe umepokea imekula kwako mkuu. pole sana. usitafute support kwa...
Wiki hii siku ya Jumanne majira ya saa 10 usiku, nilipigiwa simu kwa namba ya 555! Sikuipokea baada ya kuangalia muda wa simu ile uliopigwa. Nikapata wasiwasi mkubwa nitamwomba Mungu sa usiku ule.mchana wa siku iliyofuata sikuwa na amani.
Lakini jana usiku nilipigiwa tena muda ule ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.