Thanks wazo nzuri mimi mwenyewe nawazo Kama lako la kufungua kampuni kabisa inahusiana na mambo ya elimu siku Za usoni nahisi tukikutana tunaweza tukachanganya mawazo mimi ni mwalimu wa physics na mathematics
mbona mnamshambulia sana elimu yetu ya kibongo mnaijua msizuge Kama hamuifam ni ya kiujanja na kupata gpa kubwa haina maana kubwa unaijua content Sana hapana sema ni ufatiliaji na ujanja ujanja tu jamaa kauliza vizur ilipaswa mwenye experience ampe kidogo Mimi sioni kosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.