Rais akinunua ndege mnapinga zikija mnataka mpande bure. Wale walibariki unanunuzi wa ndege ndio wanakula matunda kwa kupewa offer ya Ku panda bure..acheni wivu watu waki-enjoy mafanikio yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna malipo huwa wanalipwa seniors katika serikali , yanaitwa responsibility allowance, kwa hiyo ametoa kwenye pesa yake ya responsibility allowance. Punguzeni mdomo
Chadema wana madiwani wengi Arusha , automatically lazima washinde . uchaguzi wa naibu meya kila nusu wa muhula wa miaka mitano it is just procedure matwaka ya kikatiba..huna sababu ya kusherekea ushind hapa jukwaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na kitambulisho tu kupigia kura Nairobi unaingi..kule ulaya baba bila viza huingii..makamanda wamefulia wamemuudhi sponsor el . hawana hela ya visa
List of shame...jina la Lowasa lilikuwepo baada ya kumsimamisha kugombea urais ukweli ukageuka kuwa uongo..usipende kutuaminisha eti fulani ni mkwel..wakati unajua hachelewi kubadilisha kauli..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.