Watu wanapenda sana kubisha, wanaona mambo hayawezekanai ila wapo watu wanaingiza pesa ndefu sana kwa biashara ambazo ni za kawaida. Nina mfano wa dada mmoja anauza juisi fresh.
Kwa siku analaza za kawaida analaza wastani 350k, kuanzia ijumaa na weekends analaza wastani wa 600k.
Ubishi bila...
LATRA wameshirikisha wadau wote kupanga hizo bei au wamefanyaa maamuzi ofisini kwao na wenye mabasi? Wananchi/abiria ambao ni wadau muhimu hakuna anayekubaliana na ongezeko hilo.
Dawa yao ni kugoma kusafiri tu
Unakuta mtu kiuhalisia nj jinsia ya kiume lakini humu Jf ana utambulisho wa kike. Sasa huwa najiuliza mtu wa namna hii ana akili kweli kichwani? Point ya kutaka kutambulika mwanamke ni nn? Ndio maana mimi nimekuwa mzito sana kuingia Jf siku hz. Mambo ya kijinga ni below 10% yaliyobakia yote ni...
Mkuu, kuna mambo mengi DC anatakiwa kufanya ikiwemo kutatua kero lukuki za wananchi, kuwa na mipango endelevu kama ujenzi wa shule, zahanati, maji nk, sio kuigiza vitu visivyokuwa na tija. Nadhani DC hakuwa sahihi hata kidogo. Rais anapokuteua kwa ngazi yoyote, amekuamini, kwahiyo unavaa urais...
Dunia na vyote vilivyomo ni vyake Mwenyezi-Mungu; ulimwengu na wote waishio humo ni mali yake. Maana yeye aliweka misingi ya dunia juu ya bahari; aliisimika imara juu ya mito ya maji.
Zaburi 24:1-2 BHN
Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake. Mchana waupasha...
Nadhani wale wanaoshikilia hoja ya kuletewa dini kwamba basi dini ni mbovu inabidi wabadilike, kwa sababu hiyo ni hoja DHAIFU SANA. Africa tumeletwa almost kila kitu, kwa mfano, tumletewa NGUO, VYOMBO VYA USAFIRI, UMEME, YEKNOLOJIA NK, sasa mtu unaposhikilia kuwa ukiletewa kila kitu basi...
Kumbe ndio maana wadau walioko kule ukiwaambia wafanya mambo watume hata dola 100, wanachomoa. Acha nitulie bongo hapa kongoro sh 2,000.
Home sweet home asikwambie mtu..
Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa; yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.
Mithali 6:32 NEN
https://bible.com/bible/1627/pro.6.32.NEN
Ila ulifanya kosa kubwa. Ulivyogundua anapenda hizo pilika ulitakiwa uachane naye mapema. Pole sana ndio maswahibu ya dunia yetu iliyo ukingoni kuharibiwa na ALIYEIUMBA kutokana na uchafu mwingi unaoendelea MBELE ZA USO WAKE.
Kama ukimtii Bwana Mungu wako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwa bidii, Bwana Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote katika dunia. Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata, kama ukimtii Bwana Mungu wako: Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani. Utabarikiwa uzao wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.