Hiyo maada nyengine ndio mpango mzima mara nyingi wengi wetu hujikuta bado tuna hisia na wapenzi ambao tumesha achana nao!! DaAah,naisubiri sana hiyo...
Inasikitisha kiukweli maana baada ya sensa kufanyika na hawa jamaa kupata idadi ndogo ya waislamu dhidi ya matarajio yao,lazima walalame kua kitu kitu kimechakachuliwa maana kabla hapa wanajigamba kwa kusema sisi makafiri hatuna lolote kwa kua twaoa mke mmoja na wao waoa hata wake wanne...
Wakuu,mkuu Babito katia hoja pale..ni bora kuijibu ile hoja kuliko kuendelea kumpondonda mwakyembe kwa hoja ambazo hazina mashiko!!!hata kama ikiwa ni pesa kidogo ila kwa shirika la serikali kufanya manunuzi bila kufata sheria huo ni upuuzi!!!
John mungu yupo nawe na twaamini hukutumia dhuluma kuwepo ulipo na utabaki ulipo mkuu nakumbuka day ulipokuja kutuomba kura pale kimara ukiongozana na Mheshimiwa Zitto!
Mkuu Mvumbuzi,nahakika wewe unaheshima zako nyingi sana ila kwa swala hilo linalo gusa dini kuyaunganisha na siasa sidhani kama utakua sahihi,kwani kwa imani ya dini ya kiislam kanzu na kidani ni vitu vya heshima kiimani na mjinga mmoja usimwazibu pamoja na kukandia dini zetu mkuu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.