Recent content by dembo

  1. D

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Imapro, kwanini hawajalipwa na wanafanya nini ili walipwe?
  2. D

    Kiwanda cha kutengeneza bacteria kilichojengwa Kibaha kwa ajili ya kutafuna viluwiluwi vya mbu

    Niliwahi kusikia wakati ule wa maonyesho kupitia EATV Mkurugenzi akieleza kuhusu kiwanda hicho, nachokumbuka alisema kwamba kiwanda kipo tayari kwa uzalishaji isipokuwa hawakuwa na fedha za kuanzisha uzalishaji kutokana na fedha walizokuwa nazo kutakiwa na Hazina wazitoe kulipia ununuzi wa share...
  3. D

    Kigogo TCAA ang'ang'ania Ofisi

    Naona Waziri wa Uchukuzi ameingilia kati na kumtangaza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TCAA na kuna tetesi kwamba amelimwa barua na kutakiwa kurudisha fedha zote za malupulupu aliyochukua ofisini hapo tangu kuanzia April 1
  4. D

    Kigogo TCAA ang'ang'ania Ofisi

    Sidhani Katibu Mkuu anaweza kumsaidia kiongozi kama Manongi...kaiharibu sekta sana
  5. D

    Serikali incompetent ya Malaysia haina cha kutufundisha Tanzania na hiyo BRN

    Sidhani kama hii ni incompetent kwa waziri bali kwa security system ya nchi
  6. D

    Bonanza la habari hatari

    Wamekufa watu!
Back
Top Bottom