Uchawi kwanza ndo siogopi mm c wapo wanaouwawa kwa uchawi na sio wafanyabiashara wa kukopesha hela
Rip kwake kifo chake kitakua kiliandikwa atakufa kwa kulogwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ahsante kwa mchango wako yakinifu nmekuelewa vizur mkuu
Kukuhusu kukusahihisha sina la kukusahihisha maana mm sielew hayo mambo, ndo maana nimeanzisha huu uzi ili nipate majibu may be tuwangoj hao wengine.
Na ndo kinachotakiwa kwenye biashara mambo yakutishana uchawi yapo kila kona
Mfano
Mtu anakwambia biashara ya nyumba za kupangisha n changamoto maana mteja anaweza kukuloga kisa unamdai kodii
Wakati ww unaiita laana wenzio imetusomesha, imewasaidia wazaz wetu kujenga na wazaz wetu wanashukuru kwa kuwepo mikopo....endelea kukaza fuvu na kamfano kako kamoja cjui ka mjane, dua la kuku halimpati mwewe wapo waliouziwa nyumba zao na benk licha ya kua hawakua watoa mikopo think wise.
Mm nitahitaji muombaji wa mkopo alete ofisini kitu chenye thaman mara mbili ya mkopo atakaokua anauhitaji mfano,
anahitaji laki moja alete dhamana ya laki mbili, ambayo itakua imepitishwa na baloz pamoja na mwenyekit kuna n dhamana halali
kwenye mkataba kutakua na kipengele kinachoonesha kua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.