Yeah bro nimekupata ,, but kiukwel mpaka Sasa sipo kweny online community platform yoyot , na kuhusu skills ambazo Nina prefer most ni graphics design though not yet sija master kla Ktu , I like things like printing; posters, flyers, banners, logo, business cards za biashara za watu mbal mbal (...
Ni kitu ambacho napenda toka nikiwa mdogo,, yaan kujihusisha na mambo ya keknologia Kwa mfano hata nyumbani namna ya kutumia na kuelekeza watu jinsi ya kutumia vifaa vya telnkolojia kama Computer, tv , smartphones, kutumia application mbal mbal kweny Simu. nk
Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili),
Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya Computer science) nikimaanisha nitajiajiri vipi?
Pale nitakapo maliza degree yangu ya Computer science...
Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili),
Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya Computer science) nikimaanisha nitajiajiri vipi?
Pale nitakapo maliza degree yangu ya Computer science...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.