Habari zenu wakuu,
Nahitaji msaada wa binti wa kazi au mama mtu mzima mwenye kufahamu wanakopatkana naomba msaada, mshahara tutaelewana, familia ndogo watu watatu.
Aksanteni
Jipatie viatu vizuri vya kike na mikoba ya kisasa[emoji151][emoji91][emoji91]
Tunapatikana Arusha mjini
SIZE 38,39,41,42
Natuma mzgo popote ulipo ndani na nje ya nchi Pemba , Unguja, mikoa yote, Kenya, Uganda
USAFIRI KWA GHARAMA ZA MTEJA
*UKIPENDA KARIBU INBOX KUKUHUDUMIA
*Plz Follow Instagram...
Naombeni namba ya mkurungenzi wa hili shirika labda anaweza nisaidia nimehangaikia mafao ya uzazi huu mwaka wa tatu majibu nimayopewa ni huzuni
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Halotel ndio wez kabisa unanunua cha 3000 kinaisha masaa 9 au 10 unannua cha 5000 ndani ya siku moja wanakutumia msg kifurushi cha 3000 kimekarbia kuisha unapiga simu wanakwambia matumiz matumiz gan ya kumaliza gb 7 siku moja bora ingekua movie labda
Sent from my CPH2127 using JamiiForums...
Habari zenu wanajamvi,ni matumain yangu mko salama.
Naomba kuuliza biashara ya kutumia selcom machine inalipa kwa wanaoifahamu?
Pili ukiwa na ile machine uweke biashara gani ya kuisupport ili faida iwe nzuri zaid?
Aksanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.