Sehemu kubwa ya maisha yako kama mfanyakazi unaitumia kwenye eneo la kazi. Ingawa inategemea na aina ya kazi unayoifanya, ni wazi muda mrefu kwa siku unaoutumia kutekeleza majukumu yako unakuweka karibu zaidi na wafanyakazi wenzako kuliko hata familia na marafiki. Mazingira haya ya ukaribu wa...
Hadithi nimeigundua leo. Nimeisoma kwa mfululizo bila commercial break. Da. Kuna watu mmejaaliwa vipaji vya kusimulia. Wachache sana wana uwezo huu. Yaani kama unaangalia movie vile. Hongera sana Lara1. Una kitu ndani yako.
Ningependa tujiulize, hizi rabsharabsha za kimahusiano zinazofikia...
Wakati mwingine unaweza kuharibu lolote ulilowahi kulifanya kwa tendo moja tu la kijinga. Ni kama Sitta alivyopoteza heshima aliyoijenga kwa papara ya kutafuta sifa za kijinga kupitisha katiba ya Chenge.
Ndugu Slaa anaweza kuwa amefanya mengi. Bahati mbaya ameharibu historia yake. Simple as that.
Short term gain? Angalau sasa umegundua Lowassa amesababisha gain ambayo Bw Slaa asingeweza. Kuhusu utabiri wako, well, zilikuwepo tabiri nyingi. Kwamba CDM wasingepata hata ongezeko la wabunge. Wabunge wengi wangeshindwa na kadhalika. Nadhani endelea kungoja.
Performance ya upinzani umeongezeka bila Bw Slaa. Pamoja na kelele zake za kuwahujumu wapinzani, bado 40% imepatikana. Mtu anaposema Bw Slaa amefanya upinzani ushindwe ana maana gani?
Kutoka 26% za 2010 mpaka 40% za 2015 ni kuporomoka?
Tukubaliane Magufuli alikuwa mgombea mzito. Angepambana na...
Mnapaisha Dk Slaa kwa lipi? Mwacheni ale pensheni Marekani baada ya kutumika. He is nothing. He is a nobody. A loser. Kumtaja taja ni kumpa haki asiyostahili.
Kitila anachekesha.
Hataki kuitwa msaliti kwa madai kwamba si sahihi kumwita unayetofautiana "msaliti". Wakati huo huo, waliotoka bungeni(ie waliotofautiana na Zitto) anawaita manyumbu na mazuzu.
Ujinga watakaopambana nao popote ulipo upo ndani ya ACT. Waanzie huko.
Angalia kwa makini Le Profeseri anavyomwangalia Dakta Mihogo akihutubia. Cheki macho ya Kova na akina Sadick. Watakuwa wanacheka kimoyo kimoyo haki anani.
Hata kama ni jitihada za kujaza idadi ya posti haiwezi kuwa kwa kiwango cha upuuzi wa aina hii. Kila unayetamani awe kahusika na mauaji automatically anakuwa implicated? Upuuzi wa hali ya juu. Kuwa na ubunifu walau kidogo. Tsk!
Sizungumzii mafuriko unayoyaona kwenye picha. Sizungumzii kukubalika kwake au kukataliwa kwake nje ya chama. Nazungumzia ridhaa aliyoipewa na wana-CHADEMA. Vyombo vya maamuzi ya chama ikiwemo Kamati Kuu waliridhia na hatujasikia wanaopinga uamuzi wa kumpokea Lowassa isipokuwa babu yako Slaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.