Recent content by chiefnyumbanitu

  1. chiefnyumbanitu

    Tag wahenga wenzako

    Sisemi nlichofanya lkn nimeamini kuwa mimi ni mhenga
  2. chiefnyumbanitu

    SOLD: Kitanda cha mninga na Godoro lake Tsh. 230,000/=

    Samahani mkuu wangu we unauzito kiasi gani?
  3. chiefnyumbanitu

    Msaada tafadhali: Chuchu kuuma

    Japo umesema me tusiongee lkn mm naomba tu nikupe pole
  4. chiefnyumbanitu

    Eric Omondi umefanya tukio la aibu kwa watanzania

    Naona ushirawadu wazidi ongezeka tz
  5. chiefnyumbanitu

    Waliomuingiza mtu mweusi kwenye jeneza mahakamani Afrika Kusini

    Aliyekuloga katangulia kufa kabla yako
  6. chiefnyumbanitu

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Ushauli wangu kwa wanainch wa huko wajaribu kushirikiana kuwafichua wahalifu. Fikra zangu yawezekana wahalifu wapo hapo tu,maana hatusikiii maeneo mengne?
  7. chiefnyumbanitu

    Kuna Majogoo wa Jirani wanawika Saa 6 hii ya usiku je ni Majogoo kweli au ndiyo wale Ndugu zetu?

    Kwani wewe wachawi ni ndugu zako? Hadi useme au ndio wale ndugu zetu?
  8. chiefnyumbanitu

    Njoeni tuelewane bei kwa mwenye bati nataka kupaua

    Nmeanza kuhifadhi mdogo mdogo
  9. chiefnyumbanitu

    Makapuku Forum

    Haha
  10. chiefnyumbanitu

    Njoeni tuelewane bei kwa mwenye bati nataka kupaua

    Ngoja tupate bati kwanza mkuu wangu Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app
  11. chiefnyumbanitu

    Njoeni tuelewane bei kwa mwenye bati nataka kupaua

    sjajua itakua na paa ngapi,naomba uangalie hii picha ya nyumba
  12. chiefnyumbanitu

    Njoeni tuelewane bei kwa mwenye bati nataka kupaua

    Nmekuelewa vizuri mkuu wangu.
  13. chiefnyumbanitu

    Njoeni tuelewane bei kwa mwenye bati nataka kupaua

    Najua utapeli upo hapa jf lkn nacheza na akili zao.
Back
Top Bottom