Wakati watumishi waliotumia nguvu zao kujenga nchi hii wakikatwa Pesa walizo dunduliza wao wenyewe katika kipindi chao cha utumishi, Wake za vigogo na familia zao wanaongezewa gharama za kuendesha maisha
MABADILIKO YA SHERIA YA MAFAO YA VIONGOZI NA FAMILIA ZAO:
Jina la sheria - THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT, (CAP. 225)
"THREAD"
BADILIKO 1:
Ongezeko la kifungu kipya cha 9A ambacho hakipo kwenye sheria kinachotaja mafao ya mke/mume wa rais mstaafu. Baada ya rais kustaafu...
Mama Hawakuogopi! Ni heri ungehairisha nia yako, tuna umia sisi wanyonge.
Watu wanalamba asali, wanyonge tunadhoofu KWA njaa.
Hii inarefleki stori ya starving boy.
Niliwahi kusoma shairi moja la mtoto mwenye utapia mlo, akiwa na ndoto za akiwa mkubwa achukue bunduki apiganie ukombozi wakati...
Sasa kuna hospitali inajengwa machochwe imeshindwa kukamilika, BOQ inatisha, mfumo mmoja wa sementi ulikuwa unanunuliwa zaidi ya Sh elfu 30, Ingeneer anapitisha, Diwani yupo, Hili nalo la kusubiri waziri mkuu
Waziri Mkuu ndiye alibaki wa Kufunga paka Kengele; Hatufiki
Eti, Mkurugenzi upo, Mkaguzi wa Mahesabu upo, TAKUKURU upo, TIS (usalama) mpo, watu wanapiga hela kama hawana akili nzuri
Sasa kama mwingine kaingia kwenye mfumo, kakomba milioni 200, hii ni kufulu
——Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti, Saad Mutunzi Ishabailu kwa kosa la...
Repost @eastafricatv
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti, Saad Mutunzi Ishabailu kwa kosa la kuhamisha shilingi milioni 213,748,085 kwa awamu nne kwa njia...
Naomba nende kwenye mada moja kwa moja.
Leo Tarehe 27 febr
Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti.
Katika ziara hiyo, Mh Waziri Mkuu alifanya kikao na watumishi wa Umma, Katika kikao hicho, baadhi ya viongozi wamejikuta...
Unachofanya nini? Wewe pia si unajadili? Kuna upuuzi zaidi ya huuu wa kuamini Mohammad ni mtume,, na wakati hata Yeye hajui hatima yake Siku ya kihama????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.