Huyo ni GABOON VIPER, ni kundi la BITIS na sifa yao ni kuzaa.
Na huwa kwa pea (70-120/2hds)
Huyo ni BITIS GABONICA, pia kuna BITIS ERIETANS, BITIS NASCONIS na wengine wengi.
Huyo ni GABOON VIPER, ni kundi la BITIS na sifa yao ni kuzaa.
Na huwa kwa pea (70-120/2hds)
Huyo ni BITIS GABONICA, pia kuna BITIS ERIETANS, BITIS NASCONIS na wengine wengi.
Inafurahisha sana kuona kwamba kuna watu wanakukumbuka kwa mazuri.
I believe JF ni familia moja so ni nzuri kuulizana juu ya wenzetu waliopotea hapa mjengoni.
Mkuu Mr Q mimi nipo naendelea na ujenzi wa taifa.
Mh mungu akupe moyo wa upendo daima.
KUMBE MCHUMBA WANGU ANA UKIMWI?!!!
Nipo ndani ya bus la Mtei nikielekea jijini Arusha,pembeni kuna binti mrembo sana shombe shombe wa Kizungu,baada ya kupiga nae story kwa muda kidogo nikabaini ni Msauzi Africa.Ni binti mrembo zaidi ya mrembo, nywele zake ndefu kazitelekeza mgongoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.