sometimes we tuma tu hata kama tarehe imepita hasa kama ni kutuma via mail kwan itakucost nini?...nakumbuka kuna friend of mine aliomba kazi dead line ilikua bado kama wiki moja wao waliapply mapema wakawa washaitwa washapigwa interview siku ya deadline ndo wako wanaanza training...then he told...
eti safi sana wema daima mbele nyuma mwiko...kweli shosti kapata shoga,inaonekana shoga zake wanaomshauri upuuzi ni kama wewe tu,so aendelee kusonga mbele tu? (kuwabadilisha)
hamia airtel utaweza kupata ofa ya 200MB,dk 10 na message 100 kila mwanzo wa weekend (ijumaa hadi jumapili) ukiongeza salio kuanzia sh 1000 utakaloweza kulitumia saa nne usiku hadi majogoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.