Wadau naomba kujua ni kondomu zipi nzuri kwa tendo, yaani zile ambazo haziumizi na ambazo ukivaa na kufanya tendo kama vile unakula kavukavu.
Ni zipi hizoo?
Msaada plzzzz
Wakubwa,
Msaada kidogo,
Ninataka kununua tu eneo ambalo mtu ananiuzia, ninataka kujua nitahakikisha vipi kama hapa sipigwi na pia kujua kwamba hili eneo ana miliki kihalali. Eneo lenyewe lipo Kibaha
Ni vitu gani hasa vya kufanya kuhakikisha hapa kwamba sipigwi nanunua kihalali
Naombeni...
Dk mi nafikiri pia kuna madk ambao hawana ushauri mzuri pindi tu wakikupima na kuona kuwa pressure iko juu basi wanakuanzishia dawa hapo hapo. Yaan hawakupi labda chansi ya kuweza kuregulate pressure kwa muda.
Mm ni muhanga ninatumia dawa nadhan mwaka wa 5 huu ila ninataka kuacha lakin naona...
Wadau swalamaaa, naomben msaada kidogoo, kuna hii fomu ya manispaa ya Kinondoni ya kumbukumbu ya uhakiki wa milki, kuna sehem ambazo nimeshindwa kujua nijaze nini, sehemu hizo ni ile ya Tarehe, muda na mipaka ya eneo (kama kwenye fomu niliyoambatanisha hapa).
Kwenye tarehe naweka tarehe ipi...
maxime,
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaa sawa mkuu nimekusoma, mimi natafuta album yao moja hivi nafikiri ilitoka mwaka 1998 labda mpaka 2001 hivi sikumbuki jina vizuri ila kuna wimbo mmoja naukumbuka unaitwa "Ainuliwe Mungu wetu leo .... ainuliwe bwana wa mabwana".
Na Jackson Benty kwenye album...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.