Habari wana jukwaa naamini mko poa🤔
Nimpongeze sana Mh Raisi na wasaidizi wake ngazi zote katika kujenga nchi yetu🇹🇿
Kauli ya Waziri wa elimu juu ya mustakabali wa ajira za walimu zitakavyokuwa imenifanya niwaze mambo mengi sana
1)Kudharauliwa kwa kada ya ualimu ikiwa kivuli cha kuboresha...
Nasikitika sana na kuumia ndani ya nafsi yangu nikitafakari juu ya ufalme wa mbingu na mienendo ambayo sisi wanadamu tunaenenda🤔
Dhana ya kujiona na kujihesabia haki inaondoa sana utukufu wa Mungu
Naombeni msaada namna ya kukopa kwa kutumia app iliyo kwenye simu ya Aquas zero?
Jamaa zangu wawili wamevuta mpunga na mwingine katumia Samsung, maana hiyo app iko installed na simu direct kutoka kwenye firm
Kwa haya yote naona wazi kipato na nguvu zetu vijana zinavyoteketea🤔, mlolongo wa majukumu kutoka kwetu tuu na sio kwa mwanamke imekuwa ishu ya kutuchosha kiuchumi, nikiwaza nn napata kutoka kwa mdada kama faida kikubwa ni mapenzi (tendo) tuu na sio kingine
Napongeza sana utoaji wa tuzo katika elimu haswa kwa wale wanaofanya vizuri pamoja na walimu wao👍
Ila sijaelewa vigezo katika tuzo ya msimamizi bora wa mtihani🤔 Nn kinazingatiwa katika utoaji wa hizo tuzo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.