Kuna siku nilikua naelekea kimara nikiwa kwenye mwendo Kasi. Nilibahatika kukaa siti Moja na dada mmoja mrembo sana nikajisemea hii kitu lazima nishuke nayo kituo chochote... Aliposhuka na mm nikashuka Ili nikamilishe mchakato wangu wa kibabe maana mule kwenye gari naona camera zote zilikua...
Kuna siku nilikua naelekea kimara nikiwa kwenye mwendo Kasi. Nilibahatika kukaa siti Moja na dada mmoja mrembo sana nikajisemea hii kitu lazima nishuke nayo kituo chochote... Aliposhuka na mm nikashuka Ili nikamilishe mchakato wangu wa kibabe maana mule kwenye gari naona camera zote zilikua...
Siku Mzee shusho akiamua kumwaga mboga Nina uhakika vijana wa kataa ndoa watajizolea wafuasi wengi sana itakua ni zaidi ya mafuliko ya lowasa
Tuendelee kumuombea Mzee shusho asiseme kitu Ili kuokoa ndoa tarajiwa
Anyway abadilishe taulo, achukue lile la pamba linalonyonya maji vizuri, awe analifua na kulikausha vizuri juani,
Last
Kama yupo dar mwambie awe anaenda beach na kujitahid kuogelea japo nusu saa tu, akifanya hivyo mfululizo itakua vizuri Zaid
Mungu akimjaalia kupona mwambie asinisahau hata...
Sijui kama itakusaidia,,, niliwahi kuteleza Kwa limalaya limoja bila kujua yule mwanamke ni kimbulu,, nadhani baada ya siku Moja nilitokewa na hivyo vipele......niliweka dawa ya fangasi(powder) ikawa Kwisha habari yake na ugonjwa ukatoweka sijawahi kuushuhudia Tena.
Nb. Hiyo njia siwez sema...
Kwaiyo unataka kunambia wote wanaotembea na wanawake ni kwasababu hawajaoa sio?
Ndoa zinachangamoto nyingi ukimuona mwanaume anatoka nje ukae chini ujiulize mara mbili mbili japo wapo wanaochepuka Kwa tamaa zao tu Ila wengine Kuna mambo yanayowasukuma kufanya hivyo Ili Kulinda afya ya moyo...
Mkuu haya mambo ni experience,,ukizoea kuwapima mambo mengi unajifunza kwenye hivyo vipimo.
Mm kipimo kabla hakijachora mistar miwili tayar najua kwamba hii Ngoma imewaka, Kila kitu ni uzoefu na matumizi ya mara Kwa mara
Hivyo vipimo vinasaidia sana ni vile tu watu hawana misimamo.. mwanamke kama hataki kupima achana naye kwasababu huyo haushindi naye muda wote so hujui amepitia mangapi.
Mimi mpaka Leo hii Nina Zaid ya wanawake wanne ambao nimeshuhudia kwenye vipimo wakiwa hawako vizuri na kabla ya kupima...
Ebu mpige picha tuone anavyohaha saiv.
Niliwah kuwa na mahusiano na mdada anayafakaz kwenye hicho chuo, Kila siku nilikua namfata stand na kumpeleka kwake ila nilikua siingii ndani... Kuna siku alinishawishi sana nilale kwake japo nilikubali ila visingizio nilitoa vya kutosha but ikashindikana...
Ni kweli asilimia kubwa ya wanaume wamezaliwa na uwezo wa kufanya mapenzi
Tatizo kubwa ambalo naona linawasumbua watu wengi ni kukosa hisia na sio kutokuwa na uwezo
Tatizo lilianzia pale ambapo tulijiona tunawahi kufika mwisho kabla ya wapenzi wetu jambo ambalo lilitufanya tuombe ushauri Kwa...
Hii mada nimeiona Twitter kitambo sana...yawezekana hapa imewah kujadiliwa ila hii system ya kufuta nyuzi yawezekana ndio inayosababisha tupate habar zilizopitwa na wakati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.