Watu waendelee kupambana kujiletea ustawi katika maisha badala ya kutafuta mchawi. Unajua kikwazo kikubwa kabisa cha maendeleo yako ni wewe mwenyewe. Ni ngumu kuelewa lakini ndio ukweli
Unajua kuna watu imani zimewapofusha macho kiasi kwamba hata mtu wa imani yake akizungumza ujinga wa namna gani yeye atamtetea tu na anaweza kwenda mbali hata kuwaponda wale wanaotoa hoja za maana. Kwa mfano Lipumba aliuponda sana waraka wa Wakatoliki bila hata kuuchambua lakini huyo huyo...
Ni kweli Zitto ana haki zote kama mwanachama kugombea nafasi yoyote ndani ya chama chake. Lakini kwa mtu mchunguzi atagundua jinsi Zitto amekuwa akihusika ktk matukio ya ajabu ajabu kwa siku za hivi karibuni kama vile kushabikia kununuliwa kwa mitambo ya Dowans na pia kuhusishwa kwake na Kikwete...
Sitta sio hapendeki kiasi hicho lakini wananchi wamekusanyika kumpongeza kwa ujasiri wake wa kupambana na mafisadi, kwa hio watu wanapaswa kujua kuwa umati huo ni wa kupongeza na kumuunga mkono na sio kusikiliza atasema nini pekee
Eddy, mimi sijasema yuko kimya kwa kufuata ushauri wa wazee, ila nimesema serikali ilitoa amri ya kusitishwa kwa malumbano mara moja baina ya RA na Mengi.
Mimi hoja yangu ni kwenye ufisadi, Watanzania wengi tuko nyuma ya yeyote yule anayepigania mustakabali mwema wa nchi yetu. Na sidhani kama...
Tatizo sio waraka kuwa na baraka za akina Pengo, suala muhimu je kuna udini? Kiongozi wa dini asiyeipigania jamii anamofanyia kazi dhidi ya ufisadi, rushwa, uonevu, na unyanyasaji huyo ni mwoga na mnafiki! Wakatoliki hawajalazimishwa waraka uingizwe kwenye katiba au utumike serikalini, wao...
Kwani umesahau serikali ilitaka malumbano baina ya hawa wafanyabiashara kusitishwa mara moja? Unataka apingane na serikali?
Kikubwa ni kuwa Watanzania wengi tuko nyuma yake, na nafasi yake katika historia ya nchi hii dhidi ya mafisadi inajipambanua wazi. Ushauri wangu Watanzania tusipende...
Kwa nini unauliza jibu? Nadhani wewe unastahili kuelezwa maana ya neno dhambi. Dhambi, ni uasi, ni tendo lililo kinyume na maadili au linaloasi sheria ya Kimungu (divine law) Na katika sheria ya Kimungu, kuna mke na mume tu, the rest ni kujinyima upepo. Labda ungetumia neno ni halali au sio...
Nani kakuambia wazanzibari "hawautaki" muungano? Na una ushahidi gani kwamba watanganyika wanalazimisha muungano? Matatizo ni sehemu ya kila mtu na kila jamii na kila muungano, kwa hiyo kama issue ni kero ziko kila upande. Kama ni kweli wazanzibari hawautaki muungano wao waseme hapo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.