Tuache kupoteza muda kuzunguzi maneno ya mlevi mropokaji.kwanza alikua bar anatuma funds za walipa kodi kulew.Lakini nikawaida ya sisiemu kupitia heriziwani kuhonga viongozi wa vyuo ili waropoke kama Huyo mlevi
Hawo jamaa sijui wakowangapi ?Hilo tamko wamesini wangapi?.Hawa ndowale badala ya kusoma wanakalia kuchukua (bum) Pesa za buru from tax payer.then mapenzi na kujaza vyoo.wafunge mdomo some
Wakuu mnashanganini CUF imeanza kujiunga na CCM kule Zanzibar hamjui kama aliyekua mgombea urasi wa CUF amakua makamo wa raisi so na huku bara kwenye Bunge la Jamuhuri anamaliza muungano wao
CUF sio wapinzania tena there in collation government pole walewaliopigia kura CUF :A S angry:
No one show question if other fellow Tanzanias kama wanaipenda nchin au vipi.Just ask you self what you have done to the country that prove you love this country more than others.
Kinachomsumbua Kikwete ni alikua na Mbinu ya kupambana kuwa President lakini hana vision on which direction he...
Yule ni mhalifu.Hakuna kiongozi duniani anayesifiwa kwa kujenge uwanja wa mpira.Kwanza uwanja wenyewe hasara tupi wachina wameingiza vifaa kibao karibu 60% ya vitu walivyoingiza nchini wakidanganya wanajengeea uwanja vinauzwa kariakoo wamekwepa kodi huku jamaa akikodoa machoa with his 10%...
waheshiwa lazima mjue tofauti ya kitabu ambacho mtu anandia kueleza view zake kisiasa (political views)na kitabua mtua anadika kueleza masha yake (Up bringing) msipamie tu na kutoa lawama manake ni sawa na mtu atakaye soma kitabu cha Mzee Kawawa na kusema mbona hajalaumu kufeli kwa serikali ya...
Tatizo sio vyama vya siasa.Hata kama tukiwa na vyama 10000000. Sio jibu la matatizo.Tatizo kubwa ni watanzania waliobweteka wakizani viongozi wa vyama watafanya kila kitu
Ni jukumu la watanzania kichangi halia na maliakwenye vyama na sio kuaachi kiongozi fulamnia kutoa fedha zake kuchangia...
Wakukifanya chama kiwe imara sio viongozi peyao kila mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi yake
Tumania umesema chadema ni chama cha watu wanne.Fikra hiyo tasa ndio inayoumiza upinzani na nchi jiulize kwanza ulisha wahi kwenda chadema kuchangia mawazo yako wakwakwambia ondoka au ulisha sikia...
Hakuna kitu mule kwanza tujiulize amefanya nini kwa africa alipokua mkuu huko african union and amefanya nini kwa tanzania kwa nafasi alizoshika.hakuna kitu.
Jibu ni kuondoa kabisa ccm.kama mkono wa kushoto unaiba wakulia hauweku kuwatofauti jibu ni kukata
Kuna mambo mawili au zaidi lazima uyaangalie sio tu hizo statistic
1) Unaangalia kukua kwa uchumi kwa kulinganisha Tanzania na nchi zengine lazima uangalie kama hizo nchi zengine chumi zake zimekuaa pia au zilikua zime stop kukua na hata kama zimekuaa ni kwa rate gani?
Mimi naamini hizo nchi...
nakubaliana na wewe Mimibaba. huwa kila wakuu wanapokosa issues yakusema wanapoishiwa mitazamo wanakimbia ukabila na kwahakika wanakuaa wanaondoa macho na akilizao katika kuaangalia jambo kwa mapaa zaidi.Manake wanataka kuniaambia wote (wajumbe) waliopiga kura walikua wanapiga kura katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.