Mbona unaongea kama umetoka usingizini! Ulimsikiliza vizuri mbowe? Alisema hivi kilichowasukuma kwenda Nairobi sio kufuata ubora wa wataalamu hapana bali usalama na hofu ya watesi wao, kwakuwa tukio lenyewe limewaogopesha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe namba za simu zote zinaanza na Bashite kisha namba zingine zinafuata mfano bashite754 bashite789bashitebashite=0754078900.
Hiyo nimeiona kwenye clip moja youtube.
Kwahiyo ukiwa na watoto wa kike saba wote kwa bahati mbaya wapate ujauzito kila wanapokua mzazi atakuwa anatolewa jela kuhukumiwa upya au atazidishiwa miaka mara saba?
Kweli unachokidai ni haki ya msingi kabisa lkn kuna watu bado uelewa wao uko mashakani sana kwa mfano huyo aliyesema acha sindano iwaingie yeye anaraha gani kuona kiwango cha elimu kikishuka kila kukicha,pia afikirie kwamba hakuna mtaalamu wa serikali ambaye hakupitia shuleni mfano mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.