Mimi nafikiri yanga ingeweka nguvu zaidi Kwa mzize aaminiwe apewe nafasi apate uzoefu zaidi kuliko kuendelea kuleta watu kama Hawa kina guede, useless. Kocha aache kucheza na straika wawili haimsaidii kabisa. Mzize awe lone straika namba moja kwa mechi zote mjazie viungo na mawinga dogo...
Mueleweshe vzuri Mzee, inawezekana yeye ameambiwa unafungua grocery watu watakaa wanakunywa pombe hapo ndomana anaakataa. Na kama fremu ipo kwenye makazi ya familia na biashara kama ya grocery kweli sio sawa.
Ila kama wananunua na kwenda zao mueleweshe vzuri atakuelewa
Pole sana mkuu, ila kama umeshafanya jitihada zote za matibabu ya hospital imeshindikana jaribu sasa tiba lishe.
Binafsi pia naamini sana kwenye tiba lishe afya ya mwili inakuwa determined sana na vitu tunavyokula.
Habari ndugu zangu.
Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha, thamani ya pesa yetu imeshuka pia. Noti moja ya sh. elfu kumi si kitu tena.
Ata ukienda dukani tu kwa muha kununua mahitaji ya nyumbani elfu kumi inakatika kwa vitu hata mkononi havijai. Mimi binafsi huwa najitahidi kununua...
Milioni 4! Mkuu msimange tu anastahili. Mimi nilipewa elfu 30 ndo mtaji huo lakini nilisimangwa mpaka nikajuta. Lakini nilijifunza kukomaa kivyangu vyangu vya kupewa vinalawama
Ila wakuu tuwe serious kidogo, hzo USD 25000 Mimi kijana nnayemakemake ntaifikisha lini kwa mkupuo niweze kwende huko majuu! Ni kweli wote wanaoenda huko wanakua na hyo hela? Sitaki kubisha sababu sijawah kufika nikashuhudia lakin kiuhalisia hapana haiwezekani maisha yetu kibongobongo tunayajua...
Hii naifanya sana lakin mara zote inakuja inafeli. Naishi kwa gharama za chini sana ile kuhakikisha familia inapata mahitaj ya msingi na sio hanasa.
Kidogo nasave lakin saving hii haifiki popote inakuja kutumika yote pia sababu kuna kipindi unajikuta huna kitu kabisa familia haiwez kulala njaa...
Huu wakat mpaka ufike ntakua nimechoka sana, naweka kila kitu kwenye nnchofanya lakini matokeo mazuri n kiduchu sana na wakat mwngne hakuna kabisa. Leo mpak nimeandika hapa inanilazimu niuze furniture chache za ndani ili nibust biashara iende na najua ntauza kwa hasara na kuja kuzipata tena sio...
Habarini za usiku,
Siku za hvi karibuni nimekua nikijiuliza sana hili swali, hasa nnapoona watu wanaendesha maisha yao comfortable wakidrive magari, kumiliki majumba na mambo mengine kama hayo.
Mimi n graduate wa 2019 nipo Morogoro lakin tangu nimehitimu kweli kabisa sijaenjoy haya maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.