Ushauri kwa wale waliosajili kampuni mpya kuanzia mwezi juni 2023 na unaona kuwa hali yako ya kiuchumi haikuruhusu kufanya hayo mahesabu ama hujaanza biashara ama hukufanya biashara kwa mwaka 2023 basi nashauri uweze kuandika barua kwenda ofisi yako ya TRA kuwaomba kuwa unatarajia kuwasilisha...
Habari ya wakati huu wakuu. Nimerudi tena ili tuweze kukumbushana baadhi ya mambo ambayo ni muhimu katika uendeshaji wa kampuni zetu
Kufikia leo tarehe 4 mei tumebakiwa na takribani siku 57 kuwasilisha ritani ya mahesabu ya mwaka ya kampuni yaani Annual Audited Financial Statement ambayo ukomo...
Niliwahi kula mihogo hadi ilifika hatua nikisikia harufu yake napata kichefuchefu. Hapo budget yangu kwa siku haikutakiwa kizidi buku na ikiwezekana iwe chini ya hapo. So chakula cha kujaza tumbo cha haraka na nafuu ilikua ni mihogo.
Mida ya saa tano napata mihogo ya mia tano na kachumbali...
Habari.
ENDAPO UTAANZA KAMA MTU BINAFSI.
Utatakiwa kuwa na TIN ya biashara na endapo una TIN ambayo haikua ya biashara badi utatakiwa kwenda TRA kuibadili iwe ya biashara.
Endapo TIN yako uliichukulia wilaya X na sasa unataka kufanya biashara katika wilaya Y basi utapaswa kuihamisha TIN hiyo ije...
Na ndio maana walipewa mafunzo na elimu lakini pia walipata mda wa kutafakari kisha wameambiwa wachague. Uzuri watu waliokuwepo nyakati za kuanzishwq kwa TICTS wapo so wanaweza kupata somo.
Kwa mujibu wa mafunzo yaliyotolewa wakati wa elimu ni kuwa hicho kitu hakuna. Ni either ubaki serikalini au uende DPW. Yaani ukiacha serikalini basi unapelekwa moja kwa moja DPW bila hata interview lakini huko DPW utapimwa kulingana na kazi yako na taratibu zao kwani ni private sector
Mkuu mbona tangazo lipo wazi au mimi ndio sielewi? Huwezi kuwa mtumishi wa serikali halafu hapo hapo ukawa mtumishi wa DPW. Mumishi anachagua abaki TOA au aende DPW na huo ndio utaratibu na hao watumishi wamepewa elimu na muda wa kuchakata suala hili tangu mapema sana.
Kwa ninachofahu na...
Habari ya jumapili wakuu. Naomba msaada wa maelekezo toka kwa mtu aliyewahi kusajili mradi chini ya Tanzania Investment Centre (TIC).
Ninahitaji kujifunza jambo kwa uhalisia wake hasa katika maandalizi ya nyaraka zinazohitajika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.