Mohammed trans yamechukua jina la muddy ndio maana ajali zake ni damu kumwagika kwenda Mbele. Unakumbuka Korogwe au lile lililoungua Nzega ? sasa kumbe kuna kunguni wanyonya damu ? kweli in the twenty first century luxury bus lina kunguni ? Wahaya na muddy jipangeni mjiulize mara mbili mbilim
Unataka ushahidi gani ? Ulikua hujazaliwa ile nyumba pale karibu na CCBRT ilipopigwa mnada. ushahidi wa Zitto kupewa gari nao unautaka ? read between the lines
Huyu Stevie Wahasira si alikua NCCR huyu. tena kagombea na waziri mkuu enzi zile warioba halafu nadhani alimshida waziri mkuu mpaka kesi Hivi nae alipewa biskuti au ndizi mpaka akarudi chechemaa
Mmesahau Zitto Kabwe. kuna vitu vya watu amekula ndio maana anawasaliti CHADEMA na kuweka mambo ya cdm hadharani. Chezeya ccm weye. Ila Lissu. Mnyika na Mbowe hawawawezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.