Habari ninaomba kujua pia.
Je, mikopo iliyotangazwa na serikali katika vyuo vya kati imeshaanza kutolewa?
Maana kuna wengine tulishindwa kuanza masomo kwasababu ya kukosa ada kwa hiyo nategemea sana mikopo na nina hitaji sana kuendelea na masomo.
Naombeni ushauri,
Ufaulu wangu wa form IV ni Dvs IV_27
B/math-F
Eng-C
Kisw-C
Hist-D
Geo-D
Civ-D
Bio-D
Je, ni kozi gani naweza somea ngazi ya cheti na yenye manufaa mbeleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.