Hizi ni siasa tu,kinachotakiwa ni kuaangalia wapi kuna maadui wachache maana penye adui wengi tukiwapa madaraka watatuangamiza.Kwa hiyo bado ukawa ipo mbele kwa mbele kwa maana maadui wapo wacheche hawawezi tushinda au siyo wananchi wenye mapenzi mema na nchi yetu!
jamani mnisaidie hili,mwanzoni nilichaguliwa st joseph coz ya BEISNE ila kulingana na ada kubwa nikaomba transfer kwenda DUCE lakn hadi sasa sijaona lolote kutoka TCU sasa najiuliza kwamba nipige chini mwaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.