Tuwekee specifications zake tu mkuu, manana sio lazma sana ufunge safari mpaka kwako kuja kuagalia tu. Wakat hata kuja huko ni kuja kukagua specifications ambzo ungeweka hapo ungejua tu mteja
Like serious jamani kwa mwenye kufahamu kiundani kuhusu biashara hiyo aje kutuelekeza kwani hata mimi kwa mtazamo wangu nilikua naona ni biashara nzuri ukizingatia kwa sasa kazi zimekua ngumu hvo kupelekea vijana wengi kuwa addicted na michezo ya bahati nasibu. Hivo naona kama mtu ukiwekeza huko...
Hua nna waswas mkubwa sana na mwanamke ambae ukimtongoza anakuambia et "nyie ndo mlivo mkishananihii tu mnamwacha mwanamke". Hakuna mwanaume anaweza kumwacha mwanamke ambae akiwa nae ndani anaenjoy to the maximum. Kitu kimoja ambacho nakiona, now days ukipata mwanaume u should know that wewe si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.