Mshaurini na mwenyekiti wa ccm taifa apunguze safari za nje ya nchi kila wiki nakushauri mwigulu uliombee mwongozo bungeni hilo pia huo utakuwa ni uzalendo zaidi ya kumtaja mbowe slaa na chadema kila siku.kumbuka adui wa shetani ni mungu na adui wa mungu ni shetani kwa nini kila siku kukicha...
Mbowe ni jembe mbona ma ccm ni wachafu tu.pia tuangalie maswala ya msingi mfano maji,elimu,barabara,umeme vijijini.ccm mmeahidi bajeti ilopita kwamba kodi ya laini za simu ni umeme vijijini mbona mwaka unaisha utekelezaji zero?.na mwanasiasa makini anatakiwa akosoe mawazo ya mtu na si maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.