Great work Jane Msowoya we just have to appreciate and support our fellows who have great thoughts and not despising their efforts... you can share with us the name of your products if you won't mind, incase anyone wants to support you ... personally i would love to learn alot from you. Admired...
Apa unaongelea site ambazo zimeshatengeneza jina, zina miaka mingi their reputation is world class known.. amazon owner is among the richest men on earth.. kwahivyo don't blame people for not trusting you.. build a reputation for people to trust on... it takes time but you can do it.. befoward...
Make your website user friendly.. yule jamaa wa Website design nahisi alikushauri vyema sana, you just despised him.. people hate words man, a picture could save you a fortune. Your idea is brilliant..watu wengii sana sikuizi wanaagiza vifaa nje hasa china mfano tu. Chapchap tz wana adi app...
Habarini za wakati huu wana jamvi. Hope this article finds you in a good mood!
Leo natamani sana kufahamu mifumo hasa ya kitehama (digital systems) ambayo unaitumia kurahisisha majukumu mbalimbali katika biashara yako au kuifanya biashara yako kidigitali. Biashara yoyote ile.
This is a call to...
Google wana Ai yao pia, totally free. Inaitwa Bard Ai..simply ni extraordinary, maana ana wide range of data and you can ask in any language.. nilishtuka maana ad kichagga anakijua jua.
check this out Bard - Chat Based AI Tool from Google
Sikuizi mi natumia ocean of pdf, nzuri sana .. napata almost vitabu vyote ninavyovitaka. Check this out
OceanofPDF
https://oceanofpdf.com
OceanofPDF.com
Hujakosea kuwaza hivyo mkuu King gorani .. na umefanya heri sana kuuliza kabla hujajitosa.
Tuanzie apo kwenye mkopo, ili mkopo usikudumaze au usikufanye mtumwa nashauri, usikope ili uanzishe biashara, Utakwama unless kama una ujuzi mkubwa wa fedha..
unakopa pale ambapo unaona kabisa unaimudu...
Sidhani kama nina huo muda mkuu, ila whatever that you are, i don't think this young generation needs people like you. Boasting around what you are, won't help anybody here.. what you are will be revealed by what you deliver. wise men knows where to invest their time on.. and my valuable time i...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.