Mkuu kwani unadhan Fei hana wanasheria?
Ama unadhani Azam hawakufiri Kama ulivyofikiri?
Uyanga wenu na usimba ndio inaoowaangusha, mchezaji mkimtaka nyie mnatumia umafya mkifanyiwa nyie mnaona mmeonewa. Ngoja dogo ale ice cream kidogo acha wivu.
Mkuu naunga mkono hoja lakini kuna swali fikilishi je vipi itakuwa iwapo marekani wataamua kutumia nguvu yao ya ushawishi kwa mataifa yenye nguvu kivita ikiwemo islaeli kuungana ili kumpiga mrusi?
Hipi hasa nguvu ya mrusi kivita kushindana na mataifa haya?
Na ikitokea mrusi ameshindwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.