Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Soma tena kichwa cha habari ukielewa, nitext PM.
8 Reactions
41 Replies
554 Views
Uwe na miaka 30 kwenda juu usivuke 40 uwe tayari kuishi kiuhalisia
3 Reactions
223 Replies
1K Views
Habari za humu jf Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa Sifa zangu Trible:Chagga Elim Diploma Kazi: Biashara ndogondogo Dini:Mkristo Lutheran(KKKT) Sina mtoto wala...
32 Reactions
165 Replies
4K Views
Wakuu, mimi nimechoka kupiga puli, nimechoka kulala peke yangu, nimechoka kuvaa nguo za kurudia, nimechoka kula kwenye mgahawa naogopa kulea watoto nikiwa mzee, mtu mwenye dada au ndugu wa kike...
15 Reactions
48 Replies
712 Views
TUambiane jamani tujue
4 Reactions
112 Replies
1K Views
Habari zenu mimi nikijana wa kitanzania umri wangu 35 sio mlefu wala sio mfupi sio mnene wala sio mwembamba dini yangu ni Muslim naish Dar ni mfanya biashara naitaji mwanamke awe Muslim miaka 20...
1 Reactions
9 Replies
240 Views
A'alkm Natafuta mume Muislam Umri 35-45. Wasifu wangu - Nina miaka 36 -mpole sana na mcheshi -nina watoto wawili
6 Reactions
30 Replies
727 Views
Jf family, Im looking for a matured man to start a new life chapter with.Im 35yrs-christian with one kid.Im employed. If you are interested,you are in your 30's up to 40's please leave a message...
14 Reactions
132 Replies
4K Views
Habari zenu wanajukwaa, Kwanza nashukuru sana kwa kunitia moyo katika uzi wangu uliopita. Pili, nikwamba bado sijakata tamaa nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe(Mzungu) tafadhali dada zangu...
1 Reactions
326 Replies
19K Views
Lemme start by saying mapenzi shikamooo......After that, am looking for a broken girl just to gimme a company. I want someone to chat with, someone I can explain what happened to...
5 Reactions
29 Replies
594 Views
Umri wowote,dini yoyote,kabila lolote, Kama ww ni mweusi au kimbaumbau no thank you!
15 Reactions
141 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume. Naishi dar. Umri ;32 Rangi :Black. Dini yangu -muslim Natafuta mpenzi awe na sifa hizi Awe anaishi dar. Asiwe serious sana (Awe charming) Umri 20-35. Dini yoyote sibagui...
3 Reactions
56 Replies
722 Views
Rafiki yangu anahitaji mume. SIFA ZA ANAYEMHITAJI; Awe mkristo Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea. Asiwe mlevi. Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri Asiwe na zaidi ya watoto 2. Mwenye uelewa...
5 Reactions
17 Replies
827 Views
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa...
33 Reactions
2K Replies
202K Views
Rej:- Natafuta MKE. Vigezo/ Mwembamba kiasi/mrefu kiasi/rangi yoyote. Mkristo na awe ametokea familia ya kikristo. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri/24-29 Kabila lolote. Asiwe na mtoto...
1 Reactions
4 Replies
155 Views
Kazi yangu biashara ndogo ndogo Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka Umri wangu miaka 35 Sina mtoto na sijaoa Mrefu wa wastani na mwembamba Sifa za mke Awe 25 yrs na...
7 Reactions
81 Replies
2K Views
Wakuu nipo serious kama unatafuta mume either uolewe au tuishi kama wapenzi ni pm huenda tukaendana umri wangu 30's huyu nilokuwa nae kishanuka sitaki kusema kwanini kimenuka karibu NB, hii ni...
2 Reactions
89 Replies
851 Views
  • Closed
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili na pia awe na shida na kama hii pia yaani naye anahitaji mtoto. I have been so lonely, naamini mtoto atakuwa faraja yangu. Na kunisaidia kuishi maisha yenye...
36 Reactions
231 Replies
6K Views
Hapa nakuja kwenu ndugu zangu najua hapa ni platform nzuri kuweza kupata mke serious hakika naimani hapa nitapata namna nahitaji mwenye mapenzi ya kweli SIFA ZANGU Miaka 36 now Sina mtoto Rangi...
9 Reactions
53 Replies
2K Views
Back
Top Bottom