Wanajamvi bila kuwapotezea muda, nina miaka 38 sijawahi kufunga ndoa, najitokeza katika jukwaa hili kutafuta mke wa kuoa, sifa za mke ni mtakaye;
1. Awe anakaa Dar
2. Awe na rangi, ila siyo...
Uwe mkristo
Uwe una shughuli ya kufanya
Usiwe na mtoto
Miaka kuanzia 25-30
Uwe unaishi Dar
Uwe mpambanaji
Uwe unajua kupika masotojo
Nipo serious natafuta mke njoo Dm
Mwanamke mwenye nia na hitaji la kuolewa aliye na umri kati ya miaka 38 - 48 anahitajika.
Awe na kazi inayomuingizia kipato na mwenye elimu ya kuanzia Diploma na kuendelea.
Nina kazi, elimu...
Sifa Zangu
Mm n wakiume [emoji1]
Mkristo
Nimejiajiri- (IT)
Sifa za Mchumba ×2
Awe wa Kike
Umri From 19-25
Dini Yeyote
Aishi Dar es Salaam
Vingine Tutaviongea [emoji120]
Njoo inbox Tuyajenge...
Bila kuchoshana kama tangazo linavosema hapo juu
Natafuta mpenzi wa kuchat nae na kujuliana hali hivo vingine tutapanga baadae kama penzi likinoga
Masharti:awe mwanamke basi inatosha
Mwanamke awe na umri kuanzia miaka 20 na kuendelea. Asiwe na akili ya kitoto awe ni muelewa ambaye tunaweza panga jambo akaelewa na akafuata.
Makubaliano
Nitatunza mtoto
Nitahudumia
Mtoto...
Habari.
Mimi ni kijana wa Kitanzania, umri wangu miaka 33, dini mkristo KKKT, naishi Dar es Salaam, nimejiajiri. Nahitaji mpenzi ambaye lengo letu kuu ni ndoa mwakani tukielewana.
Vigezo vya mke...
Awe muislamu
Umri 20-30
Hajawahi kuolewa
kama ana mtoto asizidi mmoja
kabila lolote lile.
Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea.
Sifa zangu
Umri 33
Mtumishi serikalini
Sijawahi kuoa
Mengine...
Habari zenu Jukwaa Hili
Ombi langu ni
ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami.
Sifa zangu.
Umri :35yrs
Elimu: Shahada
Kazi : Biashara, Mkulima na mfugaji
Rangi: (wanaita maji ya kunde 🥸)...
Habari wadau.
Kuna hali inanitokea inanishangaza sana, nimekua na hamu na ndoa ghafla since mwaka jana. cha kushangaza sasa sijui namuoa nani na nipo 35 yrs.
Wanaume tunatumia nguvu kubwa...
Habari wana ndugu mimi ni kijana wa miaka 32 naishi dar es salaam ,mkristo na nimejiajiri natafuta mpenzi alietayari kuwa mke, vigezo asiwe na mtoto zaidi ya mmoja awe tayari kwa ndoa mwakani.
I am single christian woman of 29 yrs, employed and chagga by tribe looking for a single christian man ageing 33 - 35 to develop a relationship with and eventually hatch into marriage ,preferably...
Jamani mwenzenu imenikuta mara nyingu sana toka niweke thread ya kutafuta mchumba, si mimi tuu hata rafiki yangu James wa JF kakutana nalo, unakuta umeweka hiyo thread then wanaume kibao wanakupm...
Wadau hope mko poa,
Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.
Sifa zangu:
Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial...
I am a man of 30 yrs, looking for a woman aged 20 up to 28 years to establish a relationship that would lead to marriage...
I dont have too many considerations.
Just PM me and get to know each...
Nina changamoto ya kushindwa kutoka nje yaani nakaa ndani sana nikitoka mjini mara moja au kwa shida maalum.
Sasa nimeambiwa hili tatizo litaniletea madhara!!Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa...
Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na...
Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri...
Ninaumr wa miaka 34 ,ni muajiriwa NGOs Nina mtoto mmoja ,mrefu kiasi Sina gari,Sina nyumba nimepanga naish dsm
Kama unajua unataka kuolewa na unaumri 27 yrs nicheki, ila uwe na vigezo hivi;
1...
Wanawake wa JF,
Husika na mada tajwa hapo juu.
Waziri Mkuu anahitajika kwa minajili ya kuisimamia serikali ili kuleta amani, upendo, furaha na maendeleo ndani ya familia ambayo Mungu atatujalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.