Do you agree with our current Constitution or there is need of having new Constitution as to to ensure Transparent, and to get rid unfairness. Drop your view 👇
HII NDIO TUNU KATIKA TANZIA YA ABOUD MWINYI JUMBE
IMESAMBAZWA KWENYE MEDIA NA Comred Mbwana Allyamtu
Imeandikwa Na Mhe Tundu Lissu
Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi amefariki dunia. Akiwa na miaka 96...
Mwaka 1996, wakati wa mchakato wa kuchagua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt. Salim alionekana kuwa mgombea imara wa kumrithi marehemu Boutros Boutros-Ghali - ambaye nafasi yake haikuwa tena...
Post in thread 'Kuuza lango la uchumi wa nchi ni usaliti mkubwa katika kuvunja katiba ya nchi, Bandari ni mali za Watanzania wote' by FaizaFoxy has been reported by The Hyper. Reason given...
kuna watu wamechachamaa wanataka maghufuli awashuglikie marais wastaafu wakati katiba yetu inakataza, si ndo kuvunja katiba huku au? wale walio chini ya uwezo wake yupo anawashuglikia na...
Unajua zitto zuberi ye anazani upinzani ni kupinga kila lifanywalo na uwongozi wa chama tawala,, kiukweli suara la msamaha ni busara na hekima sana ambayo hufundishwa na imani za dini zote...
Ndugu zangu wana JF naomba mnisaidie kujibu maswali kadha yanayonisumbua kuhusu katiba mpya.
1-Je katiba mpya ni hisani ya JPM kuamua ufanyike au usifanyike?
2-Je JPM kuzuia mchakato wa katiba...
Dini yoyote ile bila mwongozo haijawa dini,ndiyo maana kuna msahafu na biblia takatifu ambavyo ndivyo mwongozo wa mwenyezi Mungu kuwaongoza waja wake. Yeyote yule awaye akitenda kinyume na...
Katika Hali ambayo haikutarajiwa hasa na CCM wenyewe, Katibu wao mwenezi amejitokeza na kutangaza hadharani kuwa CCM wako tayari kendeleza mchakato wa Katiba Mpya.
Katika hafla Ile wengi...
Inanipa wasi wasi mkuubwa na mwenendo chama tawala wa kila ajae ankuwa na sera yake binafsi na kuanzisha prgram mpya na kuziacha zile za mwenzake alietangulia.
HI KWELI CCM INA DIRA?
Kama...
Habari yako wewe mwanachama wa ukawa na chadema .
Vuguvugu letu LA kutaka mabadiliko ya kweli bado yanaendelea mpaka 2020 Tunatumia fursa hii kutambulisha App ambayo inahusika na kutoa habari za...
Hii kitu imelipasua taifa kwa muda wa siku kadhaa. Baadhi ya wananchi kupitia vyama vyao wanadai ni lazima wapate katiba mpya. Sababu ile ha mwaka 1977 imekuwa outdated. Na haikidhi mahitaji ya...
Mhe Rais wangu, ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kazi iendelee!
Najua Mhe Rais pengine utasema huu ni ushauri wa mitandaoni na huwezi kufanyia kazi maoni ya...
Nitashukuru kama mtaacha wana JF wajadili kwa maslahi ya taifa maana ni mijadala pekee yake ambayo inayoweza kujenga taifa lenye nguvu na umoja wa kweli.
Hivi maana ya neno uzalendo ni nini...
Kama ukiniuliza leo, ni kitu gani kinakwamisha maendeleo ya nchi yetu (Tanzania) basi nitakwambia ni Katiba ya nchi ambayo kiukweli imepitwa na wakati. Tupo karine ya 21 lakini bado tunatumia...
Kupata Katiba Mpya Tusipigane Kipumbavu (Tupeane Makavu):
Makamanda watukuka agenda ya kudai katiba mpya ni ya msingi mno. Hii ni kwa maslahi yetu leo na hata kwa watoto wa wajukuu zetu...
Uzi huu mpaka Katiba mpya itakapopatikana kila mtu atakuwa ameelimika,Maneno mafupi yasiozidi matano(5) Tusichoshane.
.Katiba iliyopo sasa imepitwa na wakati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.