WanaJF, salaam!
Tundu Lissu inasemekana amezawadiwa gari na baadhi ya wadau - kama tukio hili ni la kweli basi gari hilo lazima liwe mali ya Bunge (Serikali) kwa sababu na mifano ifuatayo:-
(i)...
Pole na majukumu mazito IGP Sirro kwa kutufanya angalau kuwa salama katika nchi yetu hadi sasa.
Mimi ni mtanzania ambaye tumewahi onana mara mbili tuu,mara ya kwanza ni ITV malumbano ya hoja...
Hakuna asiuejua jinsi upinzani wa kisiasa wa Kenya ulivyo kuwa wa hatari hadi kupelekea watu maelfu kupoteza maisha yao kisa siasa.
Lkn leo hii Uhuru na Raila ni watu wanao shirikiana hadi...
Hiki kimekuwa kilio cha mda mrefu kwa wapenda michezo Tanzania kutokana na kukosekana chombo cha kusimamia na kutekeleza miradi ya miundo mbinu ya michezo.
Lengo kubwa la wakala wa sehemu za...
Kamishna wa Tume ya maadili Jaji Harold Nsekela ameendesha semina inayohusu migogoro ya migongano ya maslahi kwa watumishi wa umma jijini Arusha.
Jaji Nsekela amesema mtumishi wa umma anapaswa...
Ibara ya 39 inasomemeka hivi:
39.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa...
Hii wizara inayoongozwa na makamba Jr imevunja mfupa uliwashinda mawaziri wengi waliotangulia kufungia matumizi ya mifuko
Hamna kitu kilikuwa kinanikera jitu linatoka asubuhi na mauchafu linaenda...
Hali ya usafi wa mazingira Tanzania si nzuri hata kidogo na hairidhishi kabisa. Na imekuwa hivyo kwa muda mrefu tu sasa.
Utawala wa sasa ulipoingia madarakani ulianza na mbwembwe nyingi na...
Kilichotekea juzi Bungeni katika dakika za lala salama za Bunge la Bajeti kimeendelea kuthibitisha kuwa Spika Job Ndugai ni bingwa wa kutengeneza migogoro!
Spika Ndugai baada ya kutengeneza...
Katika Pita pita za pale Viunga Fulani nikakutana na mtu muhimu kwenye Habari za nchi kaniambia yafuatayo
Kila mwananchi lazima alipe kodi. Kuna mfumo wa kuleta utaratibu kama wa nchi Soviet...
Haki ipo wapi?
kila siku mnatuhubiria kisiwa cha amani kumbe mnaongea uongo? mnamfuza mgonjwa?
juzi hapa Ded kampiga mtu risasi za moto tena kanisani mchana kweupe hata kazi hajasimamishwa na...
Swali hili nimelilenga zaidi kwa wahasibu na wakaguzi wa financial statements/ accounts.
Kwamba katika ripoti ya CAG nimesoma habari ya mbunge wa chadema kumilikishwa gari lililonunuliwa kwa fedha...
Wakati umefika kwa Mfuko wa PSSSF kuwa Kidigitali zaidi kama Majirani zao NSSF.
Wanachama na Wastaafu wanapata taabu sana kujua na kupata taarifa zao kwenye huo Mfuko.
Utaratibu wa kutoa namba...
UTEKELEZAJI wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mpinduzi (CCM) unaofanywa na Rais John Pombe Magufuli umekuwa kilio kwa vyama vya upinzani, hususan Chadema na CUF.
Kubwaga manyanga kwa wabunge na...
Mtu mmoja mmoja kuwa na tabia ya usahaulifu...na kupelekea kurudia rudia
makosa yale yale ni jambo la kawaida...lakini ukiona Taifa zima
linafanya makosa fulani na kusahau kabisa kosa...
Na Dotto Bulendu
1.Mbunge anapoongea bungeni,huongea huku akiwa na kinga kwa mujibu wa Katiba,Lissu alisema atarejea nyumbani September 7 hivyo angekuwemo kwenye bunge la September,Spika anahofu...
Kiukweli Chadema kwa muda mrefu wamekuwa ni watu wa kujenga hoja zitokanazo na matukio na si utafiti.
Rais Magufuli alipoingia madarakani Chadema walianza kumvizia wakiamini kwamba atakwama...
Tumemsikia Mhe.Spika akitangaza kumvua Ubunge Mhe.Lisu, tumemsikia akieleza kosa la kutojulishwa alipo Lisu na kutosainiwa fomu za mali Kama sababu za kumvua Ubunge.
Pamoja na hayo tunakumbuka...
Binafsi nimetafakari sana,kuwa cheo cha Uraisi ni cheo kikubwa kinataka ,MTU mkomavu na mwenye ,mbinu za uongozi
Membe atumiwe na wapinzani kumupata mgombea atakaye ipa Ccm kazi kubwa na hawawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.