ktk muda mfupi tumeona cdm wakizika political carreer za viongozi wa ccm ktk serikali na wastaafu.
tumeona arumeru lowasa,wasira,mkapa,sendeka, ,tumeona ktk mazishi ya makani mukama alionekana...
Balozi Ami Mpungwe: Mandela niliyemfahamu
Ezekiel Kamwaga Toleo la 301
3 Jul 2013
NILIZALIWA mwanzoni mwa miaka ya 1950. Kama ilivyo kwa watu wengi wa kizazi changu, tulikulia katika kipindi...
BABA WA TAIFA alipinga suala la serikali tatu kwa uhai wake wote na aliwapinga g55 mpaka leo malecela alijiharibia sn kwani nyerere alisema likipita hilo ni bora asizikwe tanzania hoja ikafa kifo...
Katika kauli inayoekelea kumlenga mtangulizi wake katika Ikulu ya Zanzibar, Rais Ali Mohamed Shein, amesema hawezi kumzunguka Rais wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete kwa kupigia debe Muungano...
niliutazama Ujio wa rais wa China kwa masikitiko sana na Tangu jana nimekuwa nikiangalia Mbwembwe za kumpokea Rais Obama na Wamarekani wengine kama Kejeli ya wakati wote katika Taifa letu.
Wakuu...
Wakuu magwiji wa historia, nimekutana na ubishi mkubwa sana, kuna mtu amedai kuwa hayati Julius Kambarage Nyerere, aliyekuwa Rais wa jamuhuri wa Tanzania hakuhudhuria sherehe za uhuru wa Zimbabwe...
WIKI hii Rais wa Marekani, Barack Obama alifanya ziara ya wiki moja barani Afrika, akizulu nchi tatu ikiwamo nchi yetu, Tanzania. Obama alianzia ziara yake nchini Senegal, kisha akaelekea...
Mandela said that if you wanted to know how a nation treats its people, you should visit its prisons. This quote greets visitors to Number Four Prison on Constitution Hill in Johannesburg, where...
Hivi nani hasa ni mzanzibari halisi!? Maana nimefatilia nimegundua wanaotaka muungano uvunjike ni wale wenye Asili ya uarabuni! Sasa je zanzibar ilikuwa ya waarabu!? Maana historia inasema...
"TUKUMBUSHANE"
1.Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wapi?
2.Dr.Ulimboka amehamia nchi gani?
3.Mgomo wa walimu lini?
4.Mafisadi wa EPA watanyongwa lini?
5.Unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi...
Wakoloni weusi wa pili hapa tz tunajua wana polisi, usalama wa taifa, tra na fedha zetu wananchi wanazitumia kuhakikisha wanadidimiza mambo hata wafanyabiashara, wanawahonga wengine wanaojitoa...
WARENO 1500 1800
Ukiristo uliletwa kwa mara ya mwanzo Zanzibar na Wareno.- Wareno wakielekea juu kutoka kusini baada ya kufanikiwa kuizunguka Rasi ya matumaini mema Cape of Good Hope katika...
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana...
Mwaka 2005 nikiwa Zanzibar wakati wa uchaguzi, CCM ilikuwa inaaminika kwa kuchukua vijana mtaani kuwafundisha kuvuruga mikutano ya CUF. In fact wanachama wengi wa CUF waliumizwa sana wakati...
Ukibahatika kuisoma hotuba hii ambayo inapatikana yote kwenye links hapo chini zikiwa na vipade vya vedio vya hotuba hiyo, utagundua kuwa US, UN na NATO bado wanatumia kanuni zilezile...
Ni miaka miaka miwili na nusu tu, lakini baadhi ya watu wanaanza kusahau. Sasa imekuwa kawaida kusikia baadhi ya watu wakisema kuwa CHADEMA iligoma kuishirikisha CUF kwenye kambi rasmi ya upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.