Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

  • Sticky
Album bora ya hiphop ya muda wote ni ipi? Msanii bora wa hiphop wa muda wote ni nani? Wimbo bora wa hiphop wa muda wote? History ya hiphop Records za hiphop Tafsri ya hiphop na utamaduni wa...
7 Reactions
261 Replies
85K Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
50 Reactions
22K Replies
2M Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
68 Reactions
23K Replies
2M Views
  • Sticky
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu.... Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki...
41 Reactions
2K Replies
682K Views
  • Sticky
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona, tunazotaka kuziona. Karibuni. Tuanze na Hangover 2. Kwa mujibu wa Rotten Tomatoes naona...
16 Reactions
2K Replies
240K Views
  • Sticky
YouTube - Kool & The Gang - Let's Go Dancing (Ooh, La, La, La) YouTube - Kool & The Gang - Get Down On It YouTube - Kool & The Gang - Celebration
45 Reactions
683 Replies
171K Views
  • Sticky
- Seven Pounds Official Movie Trailer HD
25 Reactions
5K Replies
517K Views
Kwa wale watumiaji wa tiktok nilikuwa naomba kuuuliza swali, upande wa kutoa mafaranga yako kwa upande wa Tanzania [emoji1241] unatumia account ipi? Maana nimejaribu kutumia PayPal lakni...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Ilikuwa mwaka 2011 kipindi nafanya kazi hoteli Moja pale Zanzibar Mimi na rafiki yangu aliye itwa rajabu pale hotelini mademu wa kizungu kutoka ulaya ni wengi sana sasa ndugu yangu rajabu si...
10 Reactions
30 Replies
490 Views
Kipi kinafanya filamu iwe bora? Majibu ya swali hili hutegemea mtu na mtu. Wengi tutazungumza kuhusu storyline, casting, cinematography, background score (mfano, soundtracks), dialogue, message...
1 Reactions
9 Replies
130 Views
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movie za horror specifically zombie movies basi utagundua movie nyingi za zombies Hollywood wanaigizia Las vegas Kuna siri gani iliyo jificha nyuma ya jiji la...
2 Reactions
6 Replies
250 Views
Nimejaribu kufatilia kuna uchafu mwingi sana kwenye industry, na zama hizi mpaka msanii aonekane lazma labda adandie record label. Na ukidandia ndo hivyo tena unakua kama wakina rich mavoko, siku...
1 Reactions
71 Replies
659 Views
Hii tamthilia ya Mpali ina story nzuri sana ambayo inaeleweka. Ni bwana Nguzu na wakeze sita kule shamba kwao. Sasa ukija kwenye tamthilia za kitanzania, unakuta story ni ndefu mpaka inaboa...
3 Reactions
17 Replies
344 Views
Haiwezekani kwamba Azam TV kuwa ni burudani kwa wote kama wanavyojinasibu. Mi naona hiyo kauli ibadilike na kiwa Azam TV burudani kwa waliolipia mana bila kulipia huoni kitu
2 Reactions
10 Replies
224 Views
Hiyo movie amecheza jamaa mmoja sijui ni kama msomali hivi simjuagi jina movie ile ni kama imechezwa maeneo ya magomeni kuna kipande dada fulani hivi kama ana asili ya kipemba au kiarabu aligeuka...
1 Reactions
13 Replies
234 Views
Wakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii...
1 Reactions
20 Replies
459 Views
Kuna movie niliangalia miaka mingi kidogo kama 25 iliyopita kuna kijana alimchumbia mwanamke aliyekuwa na uhusiano na baba yake nafikiri yule mchumba wake alikuwa anafanya kazi ofisi ambayo baba...
0 Reactions
17 Replies
328 Views
Baada ya kuponea maisha kwa kuzama ndani ya ziwa la barafu, kipindi akiwa msichana mdogo, Cecilia alikata shauri la kumtumikia Mungu kwa kipindi chake chote alichobakiza duniani. Kwahiyo...
8 Reactions
14 Replies
365 Views
Pengine atakua kaambiwa na majirani wa kijiji hichi.. akijisema maneno hayo justin Orenda,”sawa kijana wangu ukiwa na uhitaji wowote usi sisite kuniambia Justin. Sawa mzee wangu una una itwa...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
Kwa wale wenzangu na mimi, kama hujawahi sikiliza Wimbo wa Dax: what it takes to be a man, sikiliza kisha hii ndio swahili version yake "Sina uwezo wa kujificha Sitarajii uweze kuelewa Natumai tu...
1 Reactions
1 Replies
102 Views
Alikuwa bendi ya Quartier Latin chini ya Koffi Olomide. Wapenzi na mashabiki wa muziki nchini Congo walimbatiza jina kwa kumwita king of Domboro dance Kwa sasa sijui alipo wajuzi mnaweza...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Movie hizi mbili 'Wrong Turn' na 'Saw' zinaoneshwa katika vyumba viwili tofauti. Mpenzi wa 'Horror Movies' Utaingia wapi?
0 Reactions
1 Replies
107 Views
Kwa Maoni yangu GENTAMYCINE ( Rais wa Wapenzi wote wa Bendi ya Wenge Musica BCBG JamiiForums nzima ) japo niliumia sana kwa Bendi hii Kuvunjika na kila Mtu Kuunda Wenge Musica yake yaani JB Mpiana...
5 Reactions
31 Replies
523 Views
"Hakuna mwenye uwezo wa kutabiri mambo yatakayotokea wakati ujao kwa usahihi isipokuwa Mungu pekee". Hivyo ndivyo wanasema, maana yeye pekee anatambua mwanzo na mwisho wetu. Wataalamu wengi...
14 Reactions
25 Replies
702 Views
Anachotaka Christine ni kupanda cheo hapa benki toka kuwa afisa mikopo mpaka kuwa meneja wa tawi. Anaamini akikaa hapo, wazazi matajiri wa 'boyfriend' wake watamheshimu na kumwona anafaa kuolewa...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Muziki wa Tanzania una wanamuziki wenye uwezo mkubwa lakini muziki wetu hauendelei mbele kwenye mataifa mengine kwa sabau hakuna ushirikiano baina ya wasanii. Naamini wasanii wa kishirikiana...
1 Reactions
10 Replies
689 Views
Night of scary: USIKU WA KUTISHA hi stoly nimetunga kwa umalidadi na ufasaha kabisa ni uzuni kidogo Ukuapo maijila ya saa 7 usiku mkoa shinyanga kijijin cha tambukareli kulikua na familia moja ya...
0 Reactions
9 Replies
240 Views
Back
Top Bottom