Leo katika pita pita yangu nimepita kwenye account ya instagram ya clouds FM nikaona Video ambayo Alikiba alikuwa ametengeneza tangazo la Coke studio kuonesha kuwa Jumapili hii atakuwa Coke...
kwa nguvu ulokuwa una unaitumia kumkataaa mtoto wa hamisa kiasi cha kumuimba kwenye nyimbo ya #fresh remix then Leo unakuja kumkubali!!!!! Na kwa namna ulivyomkana hamisa kias cha ku tweet kwamba...
Hahahahahahaha ujue kuna Vitu inabidi uanze kucheka tena unacheka kwa dharau kubwaa...Kama sahizi unamsikia sana Hamissa mobeto ujue kuwa Wanafiki wapo kazini kuhakikisha wanamtingisha Diamond...
Habari za uhakika toka wcb ni kwamba msanii diamond leo anatarajiwa kuzindua album yake ya kwanza kabisa tangu aanze mziki.. Inasemekana kuwa diamond atafanya uzinduzi huo kupitia mahojiano maalum...
Wakuu hii ishu msipoteze mda wenu 100% kuifuatilia, Diamond platnumz ni mchezo mwingine kauandaa kwa ajili ya kuachia nyimbo mpya ndani ya kipindi cha Leo tena cha cloudsfm na cloudstv
Hii...
Wakuu, yule dj no 1 in town amehamia rasmi Efm radio na E tv akiachana na Eatv pamoja na radio.
Hii ni habari mbaya kwa wale wa Club next door Masaki bila kusahau Jangwani Sea breeze.
Alikua...
Naona kumshusha kimuziki imeshindikana, sasa ni upande wa pili kumshusha kimahusiano.
Hamisa kama alimegwa kamegwa tu, na si alikua amejitega kwa sababu ya nia yake aliyokua anaijua????
Basi...
Jina limebadilishwa na kama mnavyoona picha baba wa mtoto ni Daimond na za chini ya kapeti mama mtu na Esma eti hiyo ni kumkomesha zari[emoji23][emoji23]
Hamissa nilikua nasubiri hii siku maana...
Hamisa mobeto inasemekana ana moto wa Diamond. Diamond kakataa mtoto. Hamisa ameforce kweli kingi mpaka na kubadili jina la mtoto huko insitagramu. sasa mi nauliza tu.... ivi uno mtoto angekua...
Kama ulikuwepo kipindi bongo flava ndo inaanza kushika hatamu kukita mizizi bongo basi utakuwa unakikumbuka kipindi maarufu cha bonga na startv kikihostiwa na na mwanadada mrembo maarufu kipindi...
Mond mond mond! Mimi shabiki wako mkubwa umepwaya kimziki sana miaka hii. Mond saivi unaanza kuisha kwa ajili ya maskendo hasa haya ya wanawake.
Daimond Zari kakuzalia watoto wa wawili? Muheshim...
Miaka kama minne iliyopita B-hits ilikuwa kati ya studio zilizokuwa zikitoa hits nyingi chini ya pancho latino mafia na hammy B.
Mtakumbuka ngoma kama
Bado nipo nipo - FA
Dakika moja tu - FA ft AY...
Katika hali ya kuonesha kukerwa na tabia ya Diamond kutoka na mshiriki wa big brother 2013, Dillish Mathews, Zari amepost kwa page yake ya snapchat kuonesha kwamba hachoshwi na batavuzi ndogo...
Baada ya ya moto band kufa, hawa vijana sote tunajua uwezo mkubwa waliokua nao kimuziki huku kila mmoja akiwa na upekee wake kuanzia kuimba mpaka wakiwa stejini.
Kwasasa ni wawili tu ndo ambao...
Sio mpenzi sana wa mitandao ya kijamii lakini leo nimeamuwa kupita uko instagram kujionea nini kinaendelea kati ya SEDUCE ME ya kiba na ZILIPENDWA ya wcb, cha kustaajabu mpaka sasa tangu nyimbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.