A
Anonymous
Guest
Naomba Jamii Forums msaidie kupaza sauti ya huyu mzee apate msaada, tumemkuta anaishi chini ya hili jiwe, anadai yupo hapo tangu Mwaka 2011 baada ya CDA Dodoma kuvunja nyumba yake aliyojengewa kwa msaada na Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dodoma.
Eneo hili ni ITEGA, Mzee mwenyewe anadai ofisi ya Mwenyekiti wa Mtaa haijamsaidia kabisa.
Nyumba ilivunjwa kupisha bomba la maji na hakupewa mbadala wa maisha yake na hana ndugu kabisa
Eneo hili ni ITEGA, Mzee mwenyewe anadai ofisi ya Mwenyekiti wa Mtaa haijamsaidia kabisa.
Nyumba ilivunjwa kupisha bomba la maji na hakupewa mbadala wa maisha yake na hana ndugu kabisa