idara ya elimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Evelyn Salt

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Maboresho makubwa yafanyike idara ya elimu kwani hii ndio idara mama

    Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Elimu ya sekondari imekua ni muhimu kwa watu wote (elimu msingi), lengo ni kuwa kila mtu walau afike kidato cha nne. Ni jambo jema....lakini kumekua na changamoto nyingi kiasi cha kushindwa kufikia malengo kwani pamoja na kwamba kila mtu...
  2. P

    Kwanini idara ya elimu ndiyo kila mtu anaweza zungumzia lolote tofauti na idara zingine

    Moja kwa moja niende kwenye mada.Nakumbuka siku za nyuma waziri wa elimu alishawahi kupiga marufuku wakati wa likizo watoto wetu kuendelea kusoma kwa kisingizio cha madarasa ya mitihani waendelee kusoma kujiandaa na mitihani. Waziri rudi tena kupiga marufuku kwa watoto wetu wanakosa muda wa...
  3. A

    DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

    Mimi ni Mwl. Kutoka Manspaa ya Moshi ambaye ni muhanga wa matukio machafu yanaofanywa na Kiongozi wa idara ya Elimu Ndugu NICHOLAUS NGONYANI. Nimeandika ujumbe huu kwa uchungu na masikitiko makubwa kwa kuona kada yangu ya Elimu inachafuliwa kwa uzembe na tamaa za uongozi. Yafuatayo ni baadhi...
Back
Top Bottom