Hizo unaweza uza kama spare kutegemea na ubovu wake, mfano unaweza kuweka aina ya laptop kisha ukataja ubovu wake ili mwenye kama yako na ubovu wake unahitaji spare basi mtapiga biashara.
Kama miongoni mwa hizo mashine una LG x140 yenye mazabodi nzima tufanye biashara.