Wanaume wa siku hizi hawajui kupigana kabisa

Ndio wasaidizi wetu nyie. Unataka ufokolewe wewe ndio ujue wanaume wanajua kupambana.? Kama ilikutana na kolo sawa. Are we him.? Faken
 
Hivi aliyemnyoosha baba yake mdogo Nancy, ALIKUWA NI MWANAMKE?
 
Kupigana tunaweza sisi kama wanaume, Lakini tunaangalia kipi kinachotufanya tupigane?

Tunapiga kwa nini?
Faida zake ni zipi?
Tutafaidikaje baada ya kupigana?
Hasara zake ni zipi?

Je unayempigania naye ameacha kila kitu kwa ajili yako?

kritika
 
Kupigana tunaweza sisi kama wanaume, Lakini tunaangalia kipi kinachotufanya tupigane?

Tunapiga kwa nini?
Faida zake ni zipi?
Tutafaidikaje baada ya kupigana?
Hasara zake ni zipi?

Je unayempigania naye ameacha kila kitu kwa ajili yako?

kritika
Umemaliza kaka. Wise option.. that how huwa nawaza. Naangalia na mtu mwenyewe wa kumpigania, sasa kama demu mwenyewe ni kitrika kwann nipoteze nguv zangu wkt kesho atarudia yale yale...
 
Yanaudhi sana haya madubwana
Mkate huwezi kushindana na chai hata km ukiwa mkubwa kiasi gani lazima utakuwa mdogo tu.
Niwazavyo. Ulikuwa na mwanaume ulimpenda sana na yy pia ila alikuacha akachukua mwanamke mwingine kwahiyo ile roho ya kulipa kisasi ndiyo inayokufanya ufanye unayotenda leo.
Sisi wanaume tuache km tulivyo. Ukishindana nasi utaumia
 
Umemaliza kaka. Wise option.. that how huwa nawaza. Naangalia na mtu mwenyewe wa kumpigania, sasa kama demu mwenyewe ni kitrika kwann nipoteze nguv zangu wkt kesho atarudia yale yale...
Ukishajua mwanamke hakufai kuwa mke hapo ni kuendelea kula mzigo tu hata km ukimfumania. Unafanya mazoezi ya kila style ukifika muda wa kuoa unavuta chuma kipya kizuri unaweka ndani halafu unaanza kutumia uzoefu ulioupata ukiwa ndani. Upigane kisa mwanamke ambaye hauna mpango naye. Si utakuwa ukichaa
 
Huyu dada ananifurahisha sana,nimejaribu kumsoma kiundani anaugua ugonjwa mmoja unaitwa PSYCHOLOGICAL TRAUMA asipopata tiba utamsumbua sana,wanawake wengi wanaumwa ugonjwa huu ila huyu madhara yanajionyesha waziwazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…