Nauza viwanja vya makazi maeneo ya Kiluvya Madukani kilometer 2 kutoka morogoro road, vipo pembeni ya viwanja vya NSSF. Bei ni Milioni 5 Inaanzia kwa miguu 20 kwa 20. Hakuna dalali mimi ni mmiliki mwenyewe. Vinatambuliwa na serikali ya kijiji na hakuna matatizo. Kwa mawasiliano namba 0717246284
Alie na kpande cha kiwanja maeneo ya buza, machimbo, mbagala, chamazi, pasiwe mbal na barabara sana ata ikiwa futi 25 kwa 25 ilibmrad tu nieze kujenga vyumba viwil na sebule na choo kama yupo anistue kwa 0622944747,