Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibamba Luguruni

Qinn

Member
Joined
Jul 20, 2020
Posts
23
Reaction score
26
Viwanja vipo viwili kila kimoja ukubwa wake ni mita 20 kwa 54.
Viwanja vyote vipo kibamba Luguruni ambapo ni kilomita 2.5 kutoka barabara ya lami na ofisi za wilaya ya ubungo.
Viwanja vyote kuna Barabara ya gari inayofikika kabisa.
Maji na umeme vyote vipo karibu(kama mita 50) kutoka viwanja vilipo.
Bei ya kila kiwanja kimoja ni millioni 27 (maongezi yapo pia)
Kwa mawasiliano zaidi na maelekezo piga namba zifwatazo;
0715066185
0753066185
0621096350
0754471275








 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…