Plot4Sale Viwanja kutoka ABC properties


NEW PROJECT

LOCATION

KIGAMBONI DEGE
SIFA ZA MRADI

*Umeme karibu na site

MALIPO

1sqm=15000 cash
1sqm=20000 kwa malipo ya kidogo kidogo (miezi 18)

MIUNDOMBINU

barabara mpaka site
km1.5kutoka Kigamboni dege stand mpaka site
km 17 kutoka kigamboni ferry mpaka Dege stand

SIKU ZA KUONA SITE

Jumatano
Jumamosi
Jumapili
NB:KUONA SITE NI BURE.
0786056135View attachment 1827358View attachment 1827359
 
VIWANJA KIGAMBONI PUNA

LOCATION

KIGAMBONI PUNA
SIFA ZA MRADI

*Umeme karibu na site

MALIPO

1sqm=3000cash
1sqm=6000 kwa malipo ya kidogo kidogo (miezi 18)

MIUNDOMBINU

barabara mpaka site
km3 kutoka Kigamboni dege stand mpaka site
km 47kutoka kigamboni ferry mpaka Puna bus stop

SIKU ZA KUONA SITE

Jumatano
Jumamosi
Jumapili
NB:KUONA SITE NI BURE.
0786056135
 
VIWANJA BEI NAFUU KIGAMBONI
mradi upo km 47 kutoka kigamboni ferry mpaka kigamboni puna
Mradi upo 2.5 km from main road.
Mradi umepimwa
Bei ni 6000 kwa sqm moja cash na 8000 kwa sqm moja kwa installment ya miezi 18.
mfano kiwanja cha 20m kwa 20m (sqm 400) unalipia 2,400,000 cash au 177,700 kila mwezi
unapata hati ndani ya miezi 4 ukilipa cash .

Pia kuna miradi mingine
kigamboni buyuni
Kigamboni buyuni beach plots
kigamboni cheka
kigamboni mbutu
bagamoyo kerege
bagamoyo mataya
bagamoyo ukuni
whatsapp/call 0786056135
 
New plots BAGAMOYO MAKURUNGE
Plots zipo km 3 kutoka main road (njia ya kwenda saadani narional park)
sqm 1 ni 7000 malipo ndani ya miezi 18
kiwanja cha 20m kwa 20m ,unalipia 155,500Tsh kila mwezi
bei inapungua ukilipa cashView attachment Makurunge Plot no 1-42 ABC.pdf
 
Kuna beach plots mbili kigamboni cheka
km 27 kutoka kigamboni ferry mpaka kigamboni cheka stand
km 3 kutoka barabara kuu mpaka site
mita 300 kutoka site mpaka beach
sqm 1 ni 18,000 tu
plot ya sqm 473 ni 8,514,000
plot ya sqm 403 ni 7,254,000
whatsapp/call 0786056135
 

Attachments

  • Screenshot_20220310-191600_Instagram.jpg
    30.5 KB · Views: 31
Mimi ni mvivu sana kukaa kwenye gari kwa zaidi ya kilometer 15 sababu tu natoka home naenda kibaruani, labda niwe nasafiri mikoani.

Shughuli zangu ni Posta, viwanja gani katika miradi yako vitanifaa?
 
Mimi ni mvivu sana kukaa kwenye gari kwa zaidi ya kilometer 15 sababu tu natoka home naenda kibaruani, labda niwe nasafiri mikoani.

Shughuli zangu ni Posta, viwanja gani katika miradi yako vitanifaa?
plots za chini ya km 15 zimeisha
 
MRADI WETU MPYA UNA VIWANJA VYA AINA TATU.
1. commercial plots ( viwanja vya biashara pekee, kwenye ramani vimewekewa herufi *C)

2. Commercial and Residential plots ( Viwanja vya biashara na makazi, kwenye ramani vimewekewa herufi CR)

3. residential plots, ( viwanja vya makazi pekee)
BEI ZAKE

1. Commercial ( biashara)
32000 @sqm cash installment 37,000 @sqm

2. Commercial and Residental ( biashara, na makazi)
27000 cash @sqm
32,000 installment @sqm

3. Residential (makazi)
22000 cash @sqm
27,000 instalment @sqm

whatsapp/call 0786056135View attachment 2235941
 

Attachments

  • IMG-20220521-WA0011.jpg
    97.1 KB · Views: 30

Huu mradi uko wapi?
 
New project kigamboni mbutu
-mradi upo km 1 kutoka barabara kuu
-km 27 kutoka kigamboni ferry mpaka site
-mradi umepimwa na upo karibu na makazi ya watu
sqm 1 ni 18,000
whatsapp/ call 0786056135
 
MLANDIZI - VIKURUTI


Viwanja Vilivyopimwa
Km5 Morogoro Road
Mita100 Main Road
Mlandizi-Bagamoyo Road
Daladala Zipo Nauli 1000
Bodaboda Nauli 2000

VIWANJA VINAPATIKANA MLANDIZI VIKURUTI

====================
sqm 1 ni 4500 tu
viwanja vinaanzia sqm 450 na kuendelea



Site Visit
Jumamosi na Jumapili
Makutano Mbezi stand
Saa3 asbh

CONTACTS

0786056135
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…