Vitu vifuatavyo vinauzwa

Poa mkuu hiyo ni fursa kwa wakazi wa Dom, mi Niko mbali
 
Wakuu zulia limeshanunuliwa tayari.
Vingine bado vinaongelewa, karibuni.
 
Naomba kujua bei ya hivi vitu??

Ice cream????
Huyo mdoli pembeni ya friji kubwa???
Glasi ya kioo iyo ndani ya friji????
si unajua tena...

 
Naomba kujua bei ya hivi vitu??

Ice cream????
Huyo mdoli pembeni ya friji kubwa???
Glasi ya kioo iyo ndani ya friji????
si unajua tena...

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mkuu tulia nipangilie bei aisee maana duh vyuma ni hataree...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…