Maana yake hautaki kutumia kondomu yani unataka nyama kwa nyama yani kavu kavu...
Isome calendar ya mzunguko wa hedhi yako siku ya 14 toka uanze kubleed hiyo ni siku ya hatari ovulation inafanyika usikubali kugegedwa hiyo siku ..ongeza siku mbili mbele ruduli siku mbili nyuma kutoka hiyo siku ya 14 hizo ni siku za mimba... Kwahyo epuka siku 12 - 16 or unaeza sogeza hadi siku ya 17,18, huko mbele
Mjifunze kupigia pembeni...
Acheni kabisa msifanye tendo la ndoa wakati wa kulea