Uume wangu siuelewi

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,014
Reaction score
1,914
Msaada Drs..

Uume wangu ulianza vipele baada ya kunyoa baada ya Hapo vikaleta vidonda nikaenda duka la dawa nikapewa fluconazole tabs na sonaderm cream nikatumia vimekauka sasa vimeleta vitu vifuatavyo.

Vilenge lenge vinakuwa kama mtu mwenye mguu wa tende.

Aisee vimeniondoa mchezoni wakuu.

Naombeni Ushauri nifanyaje?
 
Pole sana endelea kutumia hizo dawa especially dawa za fungal

Jitahidi usafi
Nyoa nyoa hayo ma vuzi
Uzi nmeupenda maana umeweka picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…